Tumaini Shangilieni Choir

Tumaini Shangilieni Choir Serving Our Lord God Jesus Christ is our call. Pray and Join us as we Build the Heavenly Kingdom

21/05/2026

OFISI YA KATIBU β€” Katibu Mkuu wa Kwaya

Tunaoendelea na utambulisho wa viongozi wa Tumaini Shangilieni 2026–2028 πŸ™ŒπŸ€

Leo tunamtambulisha Katibu Mkuu wa Kwaya β€” Scolastika Porokwa ✨

Tunamwombea Mungu amjalie hekima, uaminifu na neema katika kuitumikia nafasi hii kwa moyo wa upendo na kujitoa πŸ™πŸŽΆ

Hongera kwa dhamana hii mpya 🀍

1 Petro 4:10
Kila mmoja na atumie kipawa alichopewa kuwahudumia wengine, k**a mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.

20/05/2026

OFISI YA MWENYEKITI β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028

Tunaendelea kuwatambulisha viongozi wetu mmoja mmoja 🀍✨

Leo tunawatambulisha viongozi wa Ofisi ya Mwenyekiti πŸ™
Tunawaombea hekima, umoja na neema katika kuiongoza huduma hii kwa upendo na uaminifu 🀍

Mungu awatangulie katika kila hatua ya utumishi 🎢✨

_Mithali 3:5_
_Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe_

19/05/2026

OFISI YA MWENYEKITI β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028

Tunaendelea kuwatambulisha viongozi wetu mmoja mmoja 🀍✨

Leo tunawatambulisha viongozi wa Ofisi ya Mwenyekiti πŸ™
Tunawaombea hekima, umoja na neema katika kuiongoza huduma hii kwa upendo na uaminifu 🀍

Mungu awatangulie katika kila hatua ya utumishi 🎢✨

Mithali 3:5
Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe

18/05/2026

Tunaanza rasmi kuwatambulisha viongozi wetu mmoja baada ya mwingine πŸ™Œβœ¨

Leo tunaanza na Ofisi ya Mshauri Mkuu wa Kwaya 🀍
Tunamwombea Mungu azidi kumpa hekima, maono na neema katika kuiongoza na kuishauri huduma hii πŸ™

Karibu kwenye safari mpya ya utumishi 🎢✨

Mithali 11:14
Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka, bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa hakika.

OFISI YA MSHAURI WA KWAYA β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028Tunamtambulisha Mshauri wa Kwaya kwa kipindi cha 2026–2028 πŸ™Œβœ¨Tu...
15/05/2026

OFISI YA MSHAURI WA KWAYA β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028

Tunamtambulisha Mshauri wa Kwaya kwa kipindi cha 2026–2028 πŸ™Œβœ¨

Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uongozi wenye hekima na maono katika huduma hii.
Mungu amuongoze katika kushauri, kuelekeza na kuijenga kwaya katika umoja, upendo na utumishi wa kweli πŸ€πŸ™

Hongera sana kwa dhamana hii mpya πŸŽ‰

OFISI YA WALIMU β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028Tunawapongeza viongozi wa Ofisi ya Walimu πŸ™ŒπŸ€Mungu awajalie hekima ya kufu...
15/05/2026

OFISI YA WALIMU β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028

Tunawapongeza viongozi wa Ofisi ya Walimu πŸ™ŒπŸ€

Mungu awajalie hekima ya kufundisha, kuongoza na kulea huduma hii katika njia iliyo njema πŸ™βœ¨
Huduma njema huanza na msingi imara 🎢

OFISI YA WAWEKA HAZINA β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028Tunawatambulisha viongozi wa Ofisi ya Waweka Hazina 🀍✨Mungu awaong...
15/05/2026

OFISI YA WAWEKA HAZINA β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028

Tunawatambulisha viongozi wa Ofisi ya Waweka Hazina 🀍✨

Mungu awaongoze katika uaminifu, hekima na usimamizi mwema wa huduma hii πŸ™
Hongereni sana kwa nafasi hii ya utumishi πŸŽ‰

OFISI YA MAKATIBU β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028Karibu viongozi wa Ofisi ya Makatibu πŸ™ŒπŸ€Mungu awape busara, uaminifu na ...
15/05/2026

OFISI YA MAKATIBU β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028

Karibu viongozi wa Ofisi ya Makatibu πŸ™ŒπŸ€

Mungu awape busara, uaminifu na nguvu katika kuitumikia huduma hii kwa moyo wote πŸ™βœ¨
Tunawatakia utumishi mwema wenye baraka nyingi 🎢

OFISI YA MWENYEKITI β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028Tunawatambulisha viongozi wa Ofisi ya Mwenyekiti kwa kipindi cha 2026...
15/05/2026

OFISI YA MWENYEKITI β€” Tumaini Shangilieni 2026–2028

Tunawatambulisha viongozi wa Ofisi ya Mwenyekiti kwa kipindi cha 2026–2028 🀍✨

Tunawaombea hekima, uongozi wenye upendo na neema katika kulitumikia kundi hili kwa utukufu wa Mungu πŸ™
Hongereni kwa dhamana hii mpya πŸŽ‰

Kazi ya mikono yetu ibarikiwe na Mungu 🀍Tufanye yote kwa uaminifu na kwa utukufu wake πŸ™
01/05/2026

Kazi ya mikono yetu ibarikiwe na Mungu 🀍
Tufanye yote kwa uaminifu na kwa utukufu wake πŸ™

Address

St. James Anglican Church, Kaloleni
Arusha
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tumaini Shangilieni Choir posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Establishment

Send a message to Tumaini Shangilieni Choir:

Share

Category