21/05/2026
OFISI YA KATIBU β Katibu Mkuu wa Kwaya
Tunaoendelea na utambulisho wa viongozi wa Tumaini Shangilieni 2026β2028 ππ€
Leo tunamtambulisha Katibu Mkuu wa Kwaya β Scolastika Porokwa β¨
Tunamwombea Mungu amjalie hekima, uaminifu na neema katika kuitumikia nafasi hii kwa moyo wa upendo na kujitoa ππΆ
Hongera kwa dhamana hii mpya π€
1 Petro 4:10
Kila mmoja na atumie kipawa alichopewa kuwahudumia wengine, k**a mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.