14/08/2026
"JE, WATU WENGI SIKU HIZI WANATAFUTA WATOTO AU NDOA?"
Kauli ya Mamuu Toto imezua vicheko na mjadala mtandaoni baada ya kudokeza kuwa anachohitaji si lazima ndoa ya kudumu bali kupata mtoto mwingine kisha kila mmoja aende njia yake. Wapo wanaosema kizazi cha sasa kimeanza kubadilisha mtazamo kuhusu familia na mahusiano, huku wengine wakiamini watoto wanapaswa kulelewa ndani ya mazingira yenye wazazi wote wawili pale inapowezekana.
Je, lengo kuu la mahusiano ni kujenga familia ya kudumu, au watu wana haki ya kupanga maisha yao kwa namna wanayoona inawafaa hata k**a ndoa si sehemu ya mpango huo? π€π