29/05/2026
💓Wakati wewe unaona mwenzako ana kasoro nyingi na unamtangaza kwa watu, huenda yeye ndiye amechoka zaidi na mapungufu yako.
💓 ila ameamua kuvumilia, kukuelewa, na kuendelea kukupenda bila kulalamika.
💓Kila mtu ana mapungufu yake, hivyo kabla ya kumhukumu mwenzako, jifunze kuthamini moyo wake wa kuvumilia yale ambayo wengine wasingeweza kuyavumilia.
💓 Upendo wa kweli haupo kwenye ukamilifu, bali kwenye kuelewana, kusameheana na kubebana katika changamoto za maisha. Asalam aleykum warakhamatulah wabaraquatuh 🌙🌃