07/31/2026
🇨🇦 BEFORE USEME ALIFIKA MAJUU AKAKUBLOCK, SOMA HII KWANZA! 👇🏽
I have seen someone say family member ama rafiki yake alienda abroad akawablock....kujeni ni nyinyi nataka kuongelesha.
You see, the first year of arriving in Canada is not easy. I am mentioning Canada because thats where I am. It might be same or different to other countries. I normally say, mtu akifika abroad na akose kurudi home mwaka ya kwanza...huyu amemake it. Because the first year is always a period of wide awakening 😫. The struggle is real🤣
Yaani I remember when I got here I did not even like it. I wanted to go back home but nilikuwa nimeshahama then nikikumbuka watu walinipeleka airport natulia tu😄. That is a period where people are struggling with no job, no money, housing, friends, winter and expenses back to back.
You're still thinking in Kenyan shillings while paying bills in dollars. Shopping ya CAD 100 unaona ni almost KSh10,000. Unachizi tu! 😂. Na saa hizo umenunua vitu tatu. Halafu hata gari huna. Unatembea kila mahali k**a mfugo🚶♀️.
You watch your one million Kenya shillings disappear in just a few months. Then, during that time, message inaingia, "Nisave na 20k," ama, "Nitumie invitation." Wewe mwenyewe hata nyumba huna 🤣. Unajikuta umezima simu ama uneblock mtu. No one understands why you dont money na uko majuu.
It starts getting better after an year when you find a rhythm, settle down and start earning in dollars. And thats where life starts getting better. So if you can just be patient, be patient with a friend or relative who has just moved abroad, infact, check on them daily and ask them if they are okay. That person, will remember you when things start falling into place.
Watu hukapitia mwaka wa kwanza sitawadanganya✌🏽
Check prices of meat down there👇